2 Samweli 5:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Basi siku hiyo Daudi akasema: “Wale wanaowashambulia Wayebusi wanapaswa kupitia kwenye mfereji wa maji ili wawaue ‘vilema na vipofu,’ wanaomchukia Daudi!”* Ndiyo sababu watu wanasema: “Vipofu na vilema hawataingia nyumbani.” 2 Samweli Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 5:8 w97 6/15 9-10 2 Samweli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 5:8 Mnara wa Mlinzi,6/15/1997, kur. 9-10
8 Basi siku hiyo Daudi akasema: “Wale wanaowashambulia Wayebusi wanapaswa kupitia kwenye mfereji wa maji ili wawaue ‘vilema na vipofu,’ wanaomchukia Daudi!”* Ndiyo sababu watu wanasema: “Vipofu na vilema hawataingia nyumbani.”