14 Sasa Yehova akamwambia Musa: “Andika hili katika kitabu+ liwe ukumbusho na uliseme masikioni mwa Yoshua, ‘Nitafutilia mbali kabisa ukumbusho wa Amaleki toka chini ya mbingu.’”+
8 Na Daudi akapanda pamoja na watu wake ili wavamie Wageshuri+ na Wagirzi na Waamaleki;+ kwa maana walikuwa wakikaa katika nchi iliyoanzia Telamu+ mpaka Shuri+ na kushuka mpaka nchi ya Misri.