14 Sasa Yehova akamwambia Musa: “Andika hili katika kitabu+ liwe ukumbusho na uliseme masikioni mwa Yoshua, ‘Nitafutilia mbali kabisa ukumbusho wa Amaleki toka chini ya mbingu.’”+
29 Waamaleki+ wanakaa katika nchi ya Negebu,+ na Wahiti na Wayebusi+ na Waamori+ wanakaa katika eneo lenye milima, na Wakanaani+ wanakaa kando ya bahari na kando ya ukingo wa Yordani.”
1Na ikawa baada ya kifo cha Sauli, na wakati Daudi alipokuwa amerudi kutoka kuwapiga Waamaleki,+ kwamba Daudi akaendelea kukaa siku mbili katika Siklagi.+