Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 36:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Naye Timna+ akawa suria wa Elifazi, mwana wa Esau. Baada ya muda akamzalia Elifazi, Amaleki.+ Hao ndio wana wa Ada, mke wa Esau.

  • Kutoka 17:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Nao Waamaleki+ wakaja na kupigana na Israeli huko Refidimu.+

  • Kutoka 17:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Sasa Yehova akamwambia Musa: “Andika hili katika kitabu+ liwe ukumbusho na uliseme masikioni mwa Yoshua, ‘Nitafutilia mbali kabisa ukumbusho wa Amaleki toka chini ya mbingu.’”+

  • Hesabu 13:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Waamaleki+ wanakaa katika nchi ya Negebu,+ na Wahiti na Wayebusi+ na Waamori+ wanakaa katika eneo lenye milima, na Wakanaani+ wanakaa kando ya bahari na kando ya ukingo wa Yordani.”

  • 1 Samweli 15:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Yehova wa majeshi amesema hivi,+ ‘Lazima nitoze hesabu+ yale ambayo Amaleki alimfanyia Israeli alipompinga njiani alipokuwa akipanda kutoka Misri.+

  • 2 Samweli 1:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 1 Na ikawa baada ya kifo cha Sauli, na wakati Daudi alipokuwa amerudi kutoka kuwapiga Waamaleki,+ kwamba Daudi akaendelea kukaa siku mbili katika Siklagi.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 4:43
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 43 Nao wakawapiga mabaki ya Amaleki+ waliokuwa wameponyoka, nao wakaendelea kukaa huko mpaka leo hii.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki