7 “Yehova atawafanya adui zako wanaoinuka juu yako washindwe mbele yako.+ Kwa njia moja watakuja juu yako, lakini kwa njia saba watakimbia kutoka mbele yako.+
24 Na iwe kwamba, utakaposikia sauti ya mwendo juu ya miti ya mibaka, ndipo utende bila kusita,+ kwa sababu wakati huo Yehova atakuwa ametoka kwenda mbele yako kuipiga kambi ya Wafilisti.”+
7 Tazama, ninatia roho+ ndani yake, naye atasikia habari+ na kurudi katika nchi yake mwenyewe; nami hakika nitamwangusha kwa upanga katika nchi yake mwenyewe.”’”+