Waamuzi 7:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na ikawa kwamba, mara tu Gideoni aliposikia masimulizi ya ndoto hiyo na maelezo yake,+ akaanza kuabudu.+ Kisha akarudi katika kambi ya Israeli na kusema: “Simameni,+ kwa kuwa Yehova ametia kambi ya Midiani katika mkono wenu.” Yeremia 48:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 “Alaaniwe yule mtu anayetimiza utume wa Yehova kwa uzembe;+ na alaaniwe yule mtu anayeuzuilia upanga wake usimwage damu!
15 Na ikawa kwamba, mara tu Gideoni aliposikia masimulizi ya ndoto hiyo na maelezo yake,+ akaanza kuabudu.+ Kisha akarudi katika kambi ya Israeli na kusema: “Simameni,+ kwa kuwa Yehova ametia kambi ya Midiani katika mkono wenu.”
10 “Alaaniwe yule mtu anayetimiza utume wa Yehova kwa uzembe;+ na alaaniwe yule mtu anayeuzuilia upanga wake usimwage damu!