Hesabu 31:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kwa hiyo Musa akawaambia: “Je, mmemhifadhi hai kila mwanamke?+ Waamuzi 5:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 ‘Laani+ Merozi,’ akasema malaika wa Yehova,+‘Walaani wakaaji wake bila kukoma,Kwa sababu hawakuja kumsaidia Yehova,Kumsaidia Yehova pamoja na wanaume wenye nguvu.’ 1 Samweli 15:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Basi kwa nini hukuitii sauti ya Yehova, bali ukakimbilia nyara kwa pupa,+ ukafanya yaliyo mabaya machoni pa Yehova?”+ 1 Wafalme 20:42 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 42 Sasa akamwambia: “Yehova amesema hivi, ‘Kwa sababu umemwachilia kutoka mkononi mwako mtu niliyetengewa kwa ajili ya maangamizi,+ lazima nafsi+ yako ichukue mahali pa nafsi yake, na watu wako mahali pa watu wake.’”+
23 ‘Laani+ Merozi,’ akasema malaika wa Yehova,+‘Walaani wakaaji wake bila kukoma,Kwa sababu hawakuja kumsaidia Yehova,Kumsaidia Yehova pamoja na wanaume wenye nguvu.’
19 Basi kwa nini hukuitii sauti ya Yehova, bali ukakimbilia nyara kwa pupa,+ ukafanya yaliyo mabaya machoni pa Yehova?”+
42 Sasa akamwambia: “Yehova amesema hivi, ‘Kwa sababu umemwachilia kutoka mkononi mwako mtu niliyetengewa kwa ajili ya maangamizi,+ lazima nafsi+ yako ichukue mahali pa nafsi yake, na watu wako mahali pa watu wake.’”+