Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 31:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kwa hiyo Musa akawaambia: “Je, mmemhifadhi hai kila mwanamke?+

  • Waamuzi 5:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 ‘Laani+ Merozi,’ akasema malaika wa Yehova,+

      ‘Walaani wakaaji wake bila kukoma,

      Kwa sababu hawakuja kumsaidia Yehova,

      Kumsaidia Yehova pamoja na wanaume wenye nguvu.’

  • 1 Samweli 15:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Basi kwa nini hukuitii sauti ya Yehova, bali ukakimbilia nyara kwa pupa,+ ukafanya yaliyo mabaya machoni pa Yehova?”+

  • 1 Wafalme 20:42
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 42 Sasa akamwambia: “Yehova amesema hivi, ‘Kwa sababu umemwachilia kutoka mkononi mwako mtu niliyetengewa kwa ajili ya maangamizi,+ lazima nafsi+ yako ichukue mahali pa nafsi yake, na watu wako mahali pa watu wake.’”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki