Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 20
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Wafalme 20:1

Marejeo

  • +2Fa 6:24; 8:7
  • +Isa 10:8; Eze 26:7
  • +Met 21:31
  • +Kum 20:1
  • +Law 26:25; Kum 28:52
  • +2Fa 6:24; 17:5

1 Wafalme 20:2

Marejeo

  • +2Fa 19:9, 23; Isa 37:9

1 Wafalme 20:3

Marejeo

  • +Kut 15:9; Ayu 40:12; Isa 10:13

1 Wafalme 20:4

Marejeo

  • +Law 26:28; Kum 28:48

1 Wafalme 20:6

Marejeo

  • +Amu 5:30; Ezr 8:27

1 Wafalme 20:7

Marejeo

  • +Met 11:14
  • +Met 11:27

1 Wafalme 20:10

Marejeo

  • +1Fa 19:2; Yer 5:7
  • +Mdo 23:12
  • +Met 16:18; Isa 37:24

1 Wafalme 20:11

Marejeo

  • +1Sa 2:3; 25:13; Zb 45:3
  • +Met 27:1; Mhu 7:8; 8:7

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu, uku. 169

    The Watchtower,

    7/1/2005, uku. 31

  • Fahirishi ya Machapisho

    w05 7/1 31

1 Wafalme 20:12

Marejeo

  • +Met 31:4

1 Wafalme 20:13

Marejeo

  • +1Fa 16:29
  • +Isa 55:11
  • +Kut 14:18; Zb 37:20

1 Wafalme 20:15

Marejeo

  • +1Sa 14:6; 2Nya 14:11

1 Wafalme 20:16

Marejeo

  • +Met 31:4; Mhu 10:17; Ho. 4:11

1 Wafalme 20:17

Marejeo

  • +1Fa 20:14

1 Wafalme 20:18

Marejeo

  • +Met 16:18; 18:12; Lu 14:11

1 Wafalme 20:20

Marejeo

  • +Mwa 25:20; Kum 26:5; 2Sa 8:6; 2Fa 5:2; Isa 9:12
  • +Law 26:8; Kum 28:7; Zb 33:16; 46:6

1 Wafalme 20:21

Marejeo

  • +Yos 11:6

1 Wafalme 20:22

Marejeo

  • +1Fa 20:13; Amo 3:7
  • +2Nya 25:8; Zb 25:8; 27:14
  • +Met 20:18
  • +2Sa 11:1; 1Nya 20:1; 2Nya 36:10

1 Wafalme 20:23

Marejeo

  • +Zb 47:7; 83:18; 97:9; 115:2; Ro 1:21; 1Ko 8:4

1 Wafalme 20:24

Marejeo

  • +1Fa 20:1, 16
  • +Met 21:30

1 Wafalme 20:25

Marejeo

  • +Zb 10:3

1 Wafalme 20:26

Marejeo

  • +1Fa 20:20
  • +1Sa 29:1; 2Fa 13:17

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Amkeni!,

    3/8/1994, uku. 29

1 Wafalme 20:27

Marejeo

  • +Yos 1:11
  • +Amu 6:5; 1Sa 13:5; 2Nya 32:7; Ebr 11:34

1 Wafalme 20:28

Marejeo

  • +Zb 18:30
  • +Kum 32:27; Zb 58:10; Eze 20:9; 36:22
  • +Kut 6:7; 7:5; 8:10; Eze 6:14; 39:7

1 Wafalme 20:29

Marejeo

  • +Yos 6:15

1 Wafalme 20:30

Marejeo

  • +1Fa 20:26
  • +Isa 24:18; Yer 48:44; Amo 2:14; 9:3
  • +1Fa 20:20
  • +1Fa 22:25

1 Wafalme 20:31

Marejeo

  • +Met 20:28; Isa 16:5
  • +Yon 3:8
  • +Mwa 37:34; 1Fa 21:27; Est 4:1; Isa 22:12; Ufu 11:3
  • +Yon 3:9

1 Wafalme 20:33

Marejeo

  • +Met 25:13
  • +2Fa 10:15

1 Wafalme 20:34

Marejeo

  • +1Fa 15:20; 2Nya 16:4
  • +Kut 23:32

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    The Watchtower,

    7/1/2005, uku. 31

  • Fahirishi ya Machapisho

    w05 7/1 31

1 Wafalme 20:35

Marejeo

  • +2Fa 2:3; Amo 7:14
  • +1Fa 17:14

1 Wafalme 20:36

Marejeo

  • +1Fa 13:24
  • +Met 16:25

1 Wafalme 20:38

Marejeo

  • +2Sa 14:2

1 Wafalme 20:39

Marejeo

  • +2Sa 12:1; 14:4
  • +Mwa 2:7; Law 17:11
  • +2Fa 10:24; Mdo 12:19; 16:27
  • +Kut 21:30; Met 13:8

1 Wafalme 20:40

Marejeo

  • +Ayu 34:4; Lu 19:22; Gal 6:7

1 Wafalme 20:41

Marejeo

  • +1Fa 20:35

1 Wafalme 20:42

Marejeo

  • +Law 27:29; Yos 6:18; 1Sa 15:9; 1Nya 2:7; Yer 48:10
  • +1Fa 22:31, 35; 2Nya 18:33
  • +2Fa 6:24; 8:12; 2Nya 18:16

1 Wafalme 20:43

Marejeo

  • +1Fa 21:4; Zb 2:10
  • +1Fa 16:29

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

1 Fal. 20:12Fa 6:24; 8:7
1 Fal. 20:1Isa 10:8; Eze 26:7
1 Fal. 20:1Met 21:31
1 Fal. 20:1Kum 20:1
1 Fal. 20:1Law 26:25; Kum 28:52
1 Fal. 20:12Fa 6:24; 17:5
1 Fal. 20:22Fa 19:9, 23; Isa 37:9
1 Fal. 20:3Kut 15:9; Ayu 40:12; Isa 10:13
1 Fal. 20:4Law 26:28; Kum 28:48
1 Fal. 20:6Amu 5:30; Ezr 8:27
1 Fal. 20:7Met 11:14
1 Fal. 20:7Met 11:27
1 Fal. 20:101Fa 19:2; Yer 5:7
1 Fal. 20:10Mdo 23:12
1 Fal. 20:10Met 16:18; Isa 37:24
1 Fal. 20:111Sa 2:3; 25:13; Zb 45:3
1 Fal. 20:11Met 27:1; Mhu 7:8; 8:7
1 Fal. 20:12Met 31:4
1 Fal. 20:131Fa 16:29
1 Fal. 20:13Isa 55:11
1 Fal. 20:13Kut 14:18; Zb 37:20
1 Fal. 20:151Sa 14:6; 2Nya 14:11
1 Fal. 20:16Met 31:4; Mhu 10:17; Ho. 4:11
1 Fal. 20:171Fa 20:14
1 Fal. 20:18Met 16:18; 18:12; Lu 14:11
1 Fal. 20:20Mwa 25:20; Kum 26:5; 2Sa 8:6; 2Fa 5:2; Isa 9:12
1 Fal. 20:20Law 26:8; Kum 28:7; Zb 33:16; 46:6
1 Fal. 20:21Yos 11:6
1 Fal. 20:221Fa 20:13; Amo 3:7
1 Fal. 20:222Nya 25:8; Zb 25:8; 27:14
1 Fal. 20:22Met 20:18
1 Fal. 20:222Sa 11:1; 1Nya 20:1; 2Nya 36:10
1 Fal. 20:23Zb 47:7; 83:18; 97:9; 115:2; Ro 1:21; 1Ko 8:4
1 Fal. 20:241Fa 20:1, 16
1 Fal. 20:24Met 21:30
1 Fal. 20:25Zb 10:3
1 Fal. 20:261Fa 20:20
1 Fal. 20:261Sa 29:1; 2Fa 13:17
1 Fal. 20:27Yos 1:11
1 Fal. 20:27Amu 6:5; 1Sa 13:5; 2Nya 32:7; Ebr 11:34
1 Fal. 20:28Zb 18:30
1 Fal. 20:28Kum 32:27; Zb 58:10; Eze 20:9; 36:22
1 Fal. 20:28Kut 6:7; 7:5; 8:10; Eze 6:14; 39:7
1 Fal. 20:29Yos 6:15
1 Fal. 20:301Fa 20:26
1 Fal. 20:30Isa 24:18; Yer 48:44; Amo 2:14; 9:3
1 Fal. 20:301Fa 20:20
1 Fal. 20:301Fa 22:25
1 Fal. 20:31Met 20:28; Isa 16:5
1 Fal. 20:31Yon 3:8
1 Fal. 20:31Mwa 37:34; 1Fa 21:27; Est 4:1; Isa 22:12; Ufu 11:3
1 Fal. 20:31Yon 3:9
1 Fal. 20:33Met 25:13
1 Fal. 20:332Fa 10:15
1 Fal. 20:341Fa 15:20; 2Nya 16:4
1 Fal. 20:34Kut 23:32
1 Fal. 20:352Fa 2:3; Amo 7:14
1 Fal. 20:351Fa 17:14
1 Fal. 20:361Fa 13:24
1 Fal. 20:36Met 16:25
1 Fal. 20:382Sa 14:2
1 Fal. 20:392Sa 12:1; 14:4
1 Fal. 20:39Mwa 2:7; Law 17:11
1 Fal. 20:392Fa 10:24; Mdo 12:19; 16:27
1 Fal. 20:39Kut 21:30; Met 13:8
1 Fal. 20:40Ayu 34:4; Lu 19:22; Gal 6:7
1 Fal. 20:411Fa 20:35
1 Fal. 20:42Law 27:29; Yos 6:18; 1Sa 15:9; 1Nya 2:7; Yer 48:10
1 Fal. 20:421Fa 22:31, 35; 2Nya 18:33
1 Fal. 20:422Fa 6:24; 8:12; 2Nya 18:16
1 Fal. 20:431Fa 21:4; Zb 2:10
1 Fal. 20:431Fa 16:29
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
  • 38
  • 39
  • 40
  • 41
  • 42
  • 43
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
1 Wafalme 20:1-43

1 Wafalme

20 Naye Ben-hadadi+ mfalme wa Siria akakusanya majeshi yake yote na pia wafalme 32 pamoja naye+ na farasi+ na magari,+ akapanda kwenda kuzingira+ Samaria+ na kupigana nalo. 2 Kisha akatuma wajumbe+ kwa Ahabu mfalme wa Israeli katika jiji. Naye akamwambia: “Ben-hadadi amesema hivi, 3 ‘Fedha yako na dhahabu yako ni yangu, na wake zako na wana wako, wale wenye sura nzuri zaidi, ni wangu.’”+ 4 Ndipo mfalme wa Israeli akajibu na kusema: “Bwana wangu mfalme, kulingana na neno lako, mimi ni wako na vyote vilivyo vyangu.”+

5 Baadaye wajumbe wakarudi na kusema: “Ben-hadadi amesema hivi, ‘Nilituma watu kwako, kusema: “Fedha yako na dhahabu yako na wake zako na wana wako utanipa. 6 Lakini wakati kama huu kesho nitawatuma watumishi wangu kwako, nao watachunguza kwa makini nyumba yako na nyumba za watumishi wako; na itatukia kwamba kila kitu kinachotamanika+ machoni pako watakitia mkononi mwao, nao watakichukua.”’”

7 Kwa hiyo mfalme wa Israeli akawaita wanaume wazee wa nchi+ na kusema: “Tafadhali angalieni, oneni kwamba mtu huyu anatafuta msiba;+ kwa maana alituma watu kwangu kuchukua wake zangu na wanangu na fedha yangu na dhahabu yangu, nami sikumnyima vitu hivyo.” 8 Ndipo wanaume wazee na watu wote wakamwambia: “Usitii, wala usikubali.” 9 Kwa hiyo akawaambia wajumbe wa Ben-hadadi: “Mwambieni bwana wangu mfalme, ‘Yote uliyowatuma watu kwanza ukiyataka kwa mtumishi wako nitafanya; lakini jambo hili siwezi kulifanya.’” Basi wale wajumbe wakaenda zao, wakampelekea neno.

10 Sasa Ben-hadadi akatuma watu kwake na kusema: “Miungu+ na inifanyie hivyo, nayo izidishe jambo hilo,+ ikiwa mavumbi ya Samaria yatatosha mikono ya watu wote wanaonifuata!”+ 11 Naye mfalme wa Israeli akajibu na kusema: “Mwambieni hivi, ‘Mtu anayejifunga mshipi+ asijisifu kama yeye anayejifungua mshipi.’”+ 12 Na ikawa kwamba mara tu aliposikia neno hilo, wakati yeye na wale wafalme walipokuwa wakinywa+ katika vibanda, mara moja akawaambia watumishi wake: “Jitayarisheni!” Nao wakaanza kujitayarisha kulishambulia jiji.

13 Na tazama! nabii fulani akamkaribia Ahabu mfalme wa Israeli,+ kisha akasema: “Yehova amesema hivi,+ ‘Je, umeuona umati huu wote mkubwa? Tazama, nitautia mkononi mwako leo, nawe hakika utajua kwamba mimi ni Yehova.’”+ 14 Ndipo Ahabu akasema: “Kupitia nani?” naye akasema: “Yehova amesema hivi, ‘Kupitia vijana wa wakuu wa wilaya za utawala.’” Mwishowe akasema: “Ni nani atakayeanza pambano la vita?” naye akasema: “Ni wewe!”

15 Naye akaanza kuwahesabu wale vijana wa wakuu wa wilaya za utawala, nao wakawa 232;+ na baada yao akawahesabu watu wote, wana wote wa Israeli, 7,000. 16 Nao wakaanza kutoka katikati ya mchana wakati Ben-hadadi alipokuwa akinywa na kulewa+ katika vibanda, yeye pamoja na wale wafalme, wale wafalme 32 waliokuwa wakimsaidia. 17 Wakati wale vijana+ wa wakuu wa wilaya za utawala walipotoka kwanza, mara moja Ben-hadadi akatuma watu; nao wakaja na kumwambia, wakisema: “Kuna watu ambao wametoka katika Samaria.” 18 Ndipo akasema: “Hata kama wametoka kwa ajili ya amani, wakamateni wakiwa hai; au kama wametoka kwa ajili ya vita, wakamateni wakiwa hai.”+ 19 Na hao ndio waliotoka katika jiji, wale vijana wa wakuu wa wilaya za utawala na majeshi yaliyokuwa nyuma yao. 20 Nao wakaanza kumpiga na kumuua kila mmoja mtu wake; na Wasiria+ wakaanza kukimbia,+ na Israeli wakawafuatilia, lakini Ben-hadadi mfalme wa Siria akakimbia akiwa juu ya farasi pamoja na wapanda-farasi. 21 Lakini mfalme wa Israeli akatoka, akazidi kuwapiga na kuwaua wale farasi na magari,+ naye akawapiga Wasiria kwa mauaji makuu.

22 Baadaye yule nabii+ akamkaribia mfalme wa Israeli na kumwambia: “Nenda, jitie nguvu+ na ujue na kuona utakalofanya;+ kwa maana mwanzoni mwa mwaka mfalme wa Siria atakuja kukushambulia.”+

23 Na watumishi wa mfalme wa Siria wakamwambia: “Mungu wao ni Mungu wa milima.+ Ndiyo sababu walikuwa na nguvu kutushinda. Basi, na tupigane nao katika nchi tambarare, tuone kama hatutakuwa na nguvu kuwashinda. 24 Nawe ufanye hivi: Ondoa wafalme,+ kila mmoja kutoka mahali pake, na uweke magavana mahali pao.+ 25 Nawe ujihesabie jeshi linalolingana na jeshi lililoanguka kutoka upande wako, kukiwa na farasi kwa farasi na gari kwa gari; nasi tupigane nao katika nchi tambarare, tuone kama hatutakuwa na nguvu kuwashinda.”+ Basi akasikiliza sauti yao, akafanya vivyo hivyo.

26 Na ikawa kwamba mwanzoni mwa mwaka Ben-hadadi akawakusanya Wasiria+ na kupanda mpaka Afeki+ ili kupigana na Israeli. 27 Nao wana wa Israeli wakakusanywa na kuandaliwa,+ wakaanza kwenda kukutana nao; na wana wa Israeli wakaenda katika kambi mbele yao kama vikundi vidogo viwili vya mbuzi, na Wasiria, kwa upande wao, wakaijaza dunia.+ 28 Kisha yule mtu wa Mungu wa kweli+ akakaribia na kumwambia mfalme wa Israeli, naam, akasema: “Yehova amesema hivi, ‘Kwa sababu Wasiria wamesema: “Yehova ni Mungu wa milima, wala si Mungu wa nchi tambarare za chini,” nitautia mkononi mwako umati huu wote mkubwa,+ nanyi mtajua hakika kwamba mimi ni Yehova.’”+

29 Nao wakaendelea kukaa kambini siku saba, hawa wakiwa mbele ya wale.+ Na ikawa kwamba katika siku ya saba lile pambano la kivita likaanza; na wana wa Israeli wakawapiga na kuwaua Wasiria, watu mia moja elfu wanaoenda kwa miguu, katika siku moja. 30 Na wale waliobaki wakakimbia mpaka Afeki,+ katika jiji; na ukuta ukaanguka juu ya watu 27,000 waliokuwa wamebaki.+ Naye Ben-hadadi akakimbia,+ mwishowe akafika jijini, akaingia katika chumba cha ndani kabisa.+

31 Kwa hiyo watumishi wake wakamwambia: “Tazama, sasa, tumesikia kwamba wafalme wa nyumba ya Israeli ni wafalme walio na fadhili zenye upendo.+ Tafadhali, acha tuchukue nguo za magunia+ katika viuno+ vyetu na kamba juu ya vichwa vyetu, nasi twende kwa mfalme wa Israeli. Pengine atahifadhi hai nafsi yako.”+ 32 Basi wakajifunga nguo za magunia katika viuno vyao, na kamba zikiwa juu ya vichwa vyao, wakaja kwa mfalme wa Israeli na kusema: “Mtumishi wako Ben-hadadi amesema, ‘Tafadhali, acha nafsi yangu iishi.’” Naye akasema: “Je, yeye angali hai bado? Yeye ni ndugu yangu.” 33 Basi hao watu+ wakaliona jambo hilo kuwa ni ishara ya bahati na bila kukawia wakaliona kuwa ni uamuzi wake mwenyewe, nao wakaendelea kusema: “Ben-hadadi ni ndugu yako.” Kwa hiyo akasema: “Haya, mleteni.” Ndipo Ben-hadadi akaenda kwake; naye akampandisha garini mara moja.+

34 Sasa Ben-hadadi akamwambia: “Majiji+ ambayo baba yangu aliyachukua kutoka kwa baba yako nitayarudisha; nawe utajipa barabara katika Damasko kama vile baba yangu alivyojipa katika Samaria.”

“Nami nitakuacha uende zako kwa agano.”+

Kwa hiyo akafanya agano naye na kumwacha aende zake.

35 Na mtu fulani wa wana wa manabii+ akamwambia rafiki yake kwa neno+ la Yehova: “Tafadhali, nipige.” Lakini yule mtu akakataa kumpiga. 36 Kwa hiyo akamwambia: “Kwa sababu hukuisikiliza sauti ya Yehova, tazama, unaondoka kwangu, na hakika simba atakupiga na kukuua.” Kisha akaondoka kando yake, na simba+ akamkuta, akampiga na kumuua.+

37 Naye akamkuta mtu mwingine tena na kusema: “Tafadhali, nipige.” Basi yule mtu akampiga, akampiga na kumtia majeraha.

38 Ndipo yule nabii akaenda, akasimama tuli akimngojea mfalme kando ya barabara, naye akakaa akiwa amejibadilisha sura+ kwa kujifunga kitambaa juu ya macho yake. 39 Na ikawa kwamba mfalme alipokuwa anapita, akamwita mfalme na kusema:+ “Mtumishi wako alienda mahali palipo na pigano kali sana; na tazama! mtu fulani alikuwa akitoka katika uwanja wa mapigano, kisha akaniletea mtu na kusema, ‘Mlinde mtu huyu. Akitoweka kwa vyovyote, nafsi+ yako itachukua mahali pa nafsi+ yake, kama sivyo utapima talanta moja ya fedha.’+ 40 Na ikawa kwamba mtumishi wako alipokuwa akitenda mambo hapa na pale, tazama, yule mtu alitoweka.” Kwa hiyo mfalme wa Israeli akamwambia: “Hivyo ndivyo ilivyo hukumu yako mwenyewe. Wewe mwenyewe umeamua.”+ 41 Ndipo akavua haraka kile kitambaa kutoka juu ya macho yake, na mfalme wa Israeli akamtambua, kwamba alikuwa ni mmoja wa manabii.+ 42 Sasa akamwambia: “Yehova amesema hivi, ‘Kwa sababu umemwachilia kutoka mkononi mwako mtu niliyetengewa kwa ajili ya maangamizi,+ lazima nafsi+ yako ichukue mahali pa nafsi yake, na watu wako mahali pa watu wake.’”+ 43 Hivyo mfalme wa Israeli akaenda zake nyumbani kwake, akiwa mwenye kinyongo na mwenye huzuni,+ akafika Samaria.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki