1 Wafalme 20:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Basi wakavaa nguo za magunia viunoni na kufunga kamba vichwani, wakaenda kwa mfalme wa Israeli na kumwambia: “Mtumishi wako Ben-hadadi anasema, ‘Tafadhali, niruhusu niishi.’”* Akasema: “Je, angali hai? Yeye ni ndugu yangu.”
32 Basi wakavaa nguo za magunia viunoni na kufunga kamba vichwani, wakaenda kwa mfalme wa Israeli na kumwambia: “Mtumishi wako Ben-hadadi anasema, ‘Tafadhali, niruhusu niishi.’”* Akasema: “Je, angali hai? Yeye ni ndugu yangu.”