-
1 Wafalme 20:32Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
32 Basi wakajifunga nguo za magunia katika viuno vyao, na kamba zikiwa juu ya vichwa vyao, wakaja kwa mfalme wa Israeli na kusema: “Mtumishi wako Ben-hadadi amesema, ‘Tafadhali, acha nafsi yangu iishi.’” Naye akasema: “Je, yeye angali hai bado? Yeye ni ndugu yangu.”
-