2 Wafalme 6:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Na ikawa kwamba baadaye Ben-hadadi mfalme wa Siria akakusanya kambi yake yote, akapanda na kulizingira+ Samaria. 2 Wafalme 17:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Na mfalme wa Ashuru akapanda kuja juu ya nchi yote na kupanda kuja mpaka Samaria, akalizingira+ kwa miaka mitatu.
24 Na ikawa kwamba baadaye Ben-hadadi mfalme wa Siria akakusanya kambi yake yote, akapanda na kulizingira+ Samaria.
5 Na mfalme wa Ashuru akapanda kuja juu ya nchi yote na kupanda kuja mpaka Samaria, akalizingira+ kwa miaka mitatu.