Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 32:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Isingalikuwa kwa sababu niliogopa usumbufu kutoka kwa adui,+

      Kwamba wapinzani wao wangaliweza kuelewa vibaya,+

      Ili waseme: “Mkono wetu umeshinda,+

      Na si Yehova aliyefanya mambo haya yote.”+

  • Zaburi 58:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Mwadilifu atashangilia kwa sababu ameona kisasi.+

      Ataosha miguu yake katika damu ya mwovu.+

  • Ezekieli 20:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Nami nikachukua hatua kwa ajili ya jina langu mwenyewe ili lisitiwe unajisi mbele ya macho ya mataifa ambayo walikuwa katikati yao,+ kwa sababu nilikuwa nimejijulisha kwao mbele ya macho yao kwa kuwatoa katika nchi ya Misri.+

  • Ezekieli 36:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 “Kwa hiyo iambie nyumba ya Israeli, ‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi: “Sifanyi jambo hili kwa ajili yenu, Ee nyumba ya Israeli, bali kwa ajili ya jina langu takatifu, ambalo ninyi mmelitia unajisi katikati ya mataifa ambamo mmeingia.” ’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki