1 Wafalme 20:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Wanajeshi waliobaki wakakimbilia Afeki,+ ndani ya jiji. Lakini ukuta ukawaangukia wanaume 27,000 kati ya wale waliokuwa wamebaki. Ben-hadadi pia akakimbia na kuingia jijini, akajificha katika chumba fulani cha ndani.
30 Wanajeshi waliobaki wakakimbilia Afeki,+ ndani ya jiji. Lakini ukuta ukawaangukia wanaume 27,000 kati ya wale waliokuwa wamebaki. Ben-hadadi pia akakimbia na kuingia jijini, akajificha katika chumba fulani cha ndani.