2 Wafalme 6:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Na ikawa kwamba baadaye Ben-hadadi mfalme wa Siria akakusanya kambi yake yote, akapanda na kulizingira+ Samaria. 2 Wafalme 8:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Na Elisha akaenda Damasko;+ na Ben-hadadi+ mfalme wa Siria alikuwa mgonjwa. Basi akaletewa habari, ikisema: “Yule mtu wa Mungu+ wa kweli amefika hapa.”
24 Na ikawa kwamba baadaye Ben-hadadi mfalme wa Siria akakusanya kambi yake yote, akapanda na kulizingira+ Samaria.
7 Na Elisha akaenda Damasko;+ na Ben-hadadi+ mfalme wa Siria alikuwa mgonjwa. Basi akaletewa habari, ikisema: “Yule mtu wa Mungu+ wa kweli amefika hapa.”