2 Wafalme 8:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Elisha alienda Damasko+ wakati Ben-hadadi+ mfalme wa Siria alipokuwa mgonjwa. Ben-hadadi akaambiwa hivi: “Yule mtu wa Mungu wa kweli+ amekuja.”
7 Elisha alienda Damasko+ wakati Ben-hadadi+ mfalme wa Siria alipokuwa mgonjwa. Ben-hadadi akaambiwa hivi: “Yule mtu wa Mungu wa kweli+ amekuja.”