1 Wafalme 20:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Basi Mfalme Ben-hadadi+ wa Siria+ akakusanya jeshi lake lote pamoja na wafalme wengine 32 wakiwa na farasi wao na magari yao ya vita; akapanda kwenda kuzingira+ jiji la Samaria+ na kupigana nalo. 2 Wafalme 6:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Baadaye Ben-hadadi mfalme wa Siria akalikusanya pamoja jeshi lake lote* na kupanda kwenda kulizingira jiji la Samaria.+
20 Basi Mfalme Ben-hadadi+ wa Siria+ akakusanya jeshi lake lote pamoja na wafalme wengine 32 wakiwa na farasi wao na magari yao ya vita; akapanda kwenda kuzingira+ jiji la Samaria+ na kupigana nalo.
24 Baadaye Ben-hadadi mfalme wa Siria akalikusanya pamoja jeshi lake lote* na kupanda kwenda kulizingira jiji la Samaria.+