1 Wafalme 20:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Naye Ben-hadadi+ mfalme wa Siria akakusanya majeshi yake yote na pia wafalme 32 pamoja naye+ na farasi+ na magari,+ akapanda kwenda kuzingira+ Samaria+ na kupigana nalo. 2 Wafalme 6:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Na ikawa kwamba baadaye Ben-hadadi mfalme wa Siria akakusanya kambi yake yote, akapanda na kulizingira+ Samaria.
20 Naye Ben-hadadi+ mfalme wa Siria akakusanya majeshi yake yote na pia wafalme 32 pamoja naye+ na farasi+ na magari,+ akapanda kwenda kuzingira+ Samaria+ na kupigana nalo.
24 Na ikawa kwamba baadaye Ben-hadadi mfalme wa Siria akakusanya kambi yake yote, akapanda na kulizingira+ Samaria.