7 “Kwa maana Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi, ‘Tazama, juu ya Tiro ninamleta Nebukadreza mfalme wa Babiloni kutoka kaskazini,+ mfalme wa wafalme,+ pamoja na farasi+ na magari ya vita+ na askari wapanda-farasi na kutaniko,+ naam, umati wa watu.