23 Watashika upinde na mkuki.+ Ni katili, nao hawatakuwa na huruma. Sauti yao itavuma kama bahari,+ nao watapanda juu ya farasi.+ Limejipanga katika utaratibu wa vita kama mwanamume wa vita juu yako, Ee binti Sayuni.”+
8 Na farasi zake ni wepesi kuliko chui, nao ni wakali kuliko mbwa-mwitu wa jioni.+ Na farasi zake wa vita wamekanyaga udongo, na hao farasi zake huja kutoka mbali. Linaruka kama tai anayeharakisha kwenda kula kitu.+