Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 6:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Watashika upinde na mkuki.+ Ni katili, nao hawatakuwa na huruma. Sauti yao itavuma kama bahari,+ nao watapanda juu ya farasi.+ Limejipanga katika utaratibu wa vita kama mwanamume wa vita juu yako, Ee binti Sayuni.”+

  • Habakuki 1:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Na farasi zake ni wepesi kuliko chui, nao ni wakali kuliko mbwa-mwitu wa jioni.+ Na farasi zake wa vita wamekanyaga udongo, na hao farasi zake huja kutoka mbali. Linaruka kama tai anayeharakisha kwenda kula kitu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki