Yeremia 6:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Watashika upinde na mkuki. Ni wakatili na hawatakuwa na huruma. Sauti yao itanguruma kama bahari,Nao wanapanda farasi.+ Wanajipanga kivita dhidi yako kama mwanamume wa vita, Ee binti ya Sayuni.”
23 Watashika upinde na mkuki. Ni wakatili na hawatakuwa na huruma. Sauti yao itanguruma kama bahari,Nao wanapanda farasi.+ Wanajipanga kivita dhidi yako kama mwanamume wa vita, Ee binti ya Sayuni.”