Yeremia 4:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Tazama! Atakuja kama mawingu ya mvua, na magari yake ni kama upepo wa dhoruba.+ Farasi zake ni wepesi kuliko tai.+ Ole wetu, kwa sababu tumeporwa! Maombolezo 4:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Wenye kutufuatilia wamekuwa wepesi kuliko tai wa mbinguni.+Wametufuatilia vikali juu ya milima.+ Wametuvizia nyikani.+ Ezekieli 17:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Nawe utasema, ‘Hivi ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema: “Tai mkubwa,+ mwenye mabawa makubwa,+ na manyoya marefu, aliyejaa manyoya, yaliyokuwa na rangi mbalimbali, alikuja Lebanoni+ na kukichukua kilele+ cha mwerezi.+
13 Tazama! Atakuja kama mawingu ya mvua, na magari yake ni kama upepo wa dhoruba.+ Farasi zake ni wepesi kuliko tai.+ Ole wetu, kwa sababu tumeporwa!
19 Wenye kutufuatilia wamekuwa wepesi kuliko tai wa mbinguni.+Wametufuatilia vikali juu ya milima.+ Wametuvizia nyikani.+
3 Nawe utasema, ‘Hivi ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema: “Tai mkubwa,+ mwenye mabawa makubwa,+ na manyoya marefu, aliyejaa manyoya, yaliyokuwa na rangi mbalimbali, alikuja Lebanoni+ na kukichukua kilele+ cha mwerezi.+