8“Tia baragumu+ katika kinywa chako! Mtu fulani anakuja kama tai+ juu ya nyumba ya Yehova, kwa sababu wamelivunja agano langu,+ nao wameikosea sheria yangu.+
8 Na farasi zake ni wepesi kuliko chui, nao ni wakali kuliko mbwa-mwitu wa jioni.+ Na farasi zake wa vita wamekanyaga udongo, na hao farasi zake huja kutoka mbali. Linaruka kama tai anayeharakisha kwenda kula kitu.+