Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 31:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 si kama lile agano ambalo nilifanya pamoja na mababu zao katika ile siku nilipowashika mkono na kuwatoa katika nchi ya Misri,+ ‘agano langu ambalo wao walilivunja,+ ingawa mimi mwenyewe nilikuwa mume kwao,’+ asema Yehova.”

  • Ezekieli 16:59
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 59 “Kwa maana hivi ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema, ‘Mimi pia lazima nikutendee wewe kama vile ulivyotenda,+ kwa sababu ulikidharau kiapo kwa kuvunja agano langu.+

  • Hosea 6:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Lakini wao wenyewe, kama mtu wa udongo, wamevunja lile agano.+ Hapo ndipo wamenitendea kwa hila.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki