32 si kama lile agano ambalo nilifanya pamoja na mababu zao katika ile siku nilipowashika mkono na kuwatoa katika nchi ya Misri,+ ‘agano langu ambalo wao walilivunja,+ ingawa mimi mwenyewe nilikuwa mume kwao,’+ asema Yehova.”
59 “Kwa maana hivi ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema, ‘Mimi pia lazima nikutendee wewe kama vile ulivyotenda,+ kwa sababu ulikidharau kiapo kwa kuvunja agano langu.+