Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 17:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 nao wakaendelea kukataa masharti yake na agano+ lake alilofanya na mababu zao na vikumbusho+ vyake alivyokuwa amewaonya navyo, nao wakaendelea kufuata sanamu za ubatili+ nao wenyewe wakawa ubatili,+ naam, kwa kuiga mataifa yaliyowazunguka pande zote, ambao Yehova alikuwa amewaamuru wasifanye kama wao;+

  • Isaya 24:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Nayo nchi imechafuliwa chini ya wakaaji wake,+ kwa maana wamezivunja sheria,+ wamelibadili sharti,+ wamevunja agano linalodumu mpaka wakati usio na kipimo.+

  • Hosea 8:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “Tia baragumu+ katika kinywa chako! Mtu fulani anakuja kama tai+ juu ya nyumba ya Yehova, kwa sababu wamelivunja agano langu,+ nao wameikosea sheria yangu.+

  • Waebrania 8:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 si kulingana na lile agano+ ambalo nilifanya pamoja na mababu zao katika ile siku nilipowashika mkono na kuwatoa katika nchi ya Misri,+ kwa sababu hawakuendelea kulishika agano langu,+ hivi kwamba nikaacha kuwajali,’ asema Yehova.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki