5 Na sasa ikiwa mtaitii+ sauti yangu kabisa na kulishika kwa kweli agano+ langu, ndipo hakika mtakapokuwa mali yangu ya pekee kutoka kati ya vikundi vingine vyote vya watu,+ kwa sababu dunia nzima ni yangu.+
7 Mwishowe akachukua kitabu cha agano+ na kukisoma katika masikio ya watu.+ Kisha wakasema: “Yote ambayo Yehova amesema tuko tayari kuyafanya na kuyatii.”+
32 si kama lile agano ambalo nilifanya pamoja na mababu zao katika ile siku nilipowashika mkono na kuwatoa katika nchi ya Misri,+ ‘agano langu ambalo wao walilivunja,+ ingawa mimi mwenyewe nilikuwa mume kwao,’+ asema Yehova.”
18 Nami nitawatoa wale watu wanaolivunja agano langu,+ kwa sababu hawakutenda yale maneno ya agano ambalo walifanya mbele zangu kwa yule ndama ambaye walimkata vipande viwili+ ili wapite katikati ya vipande vyake;+