Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 17:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Ikiwa atapatikana katikati yako katika moja la majiji yako ambayo Yehova Mungu wako anakupa wewe, mwanamume au mwanamke atakayekuwa na mazoea ya kufanya mabaya machoni pa Yehova Mungu wako na kuvunja agano lake,+

  • Yoshua 7:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Israeli wametenda dhambi, nao wamevunja agano langu+ ambalo niliwaamuru; tena wamechukua sehemu ya vitu vilivyotengwa kwa ajili ya kuharibiwa,+ tena wameiba,+ tena wamevificha+ na kuvitia katikati ya vyombo vyao wenyewe.+

  • Ezekieli 17:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “ ‘ “Kama ninavyoishi,”+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, “mahali pa mfalme aliyemweka kuwa mfalme yule aliyekidharau kiapo+ chake na ambaye alilivunja agano lake, atakufa pamoja naye katikati ya Babiloni.+

  • Hosea 6:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Lakini wao wenyewe, kama mtu wa udongo, wamevunja lile agano.+ Hapo ndipo wamenitendea kwa hila.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki