2 “Ikiwa atapatikana katikati yako katika moja la majiji yako ambayo Yehova Mungu wako anakupa wewe, mwanamume au mwanamke atakayekuwa na mazoea ya kufanya mabaya machoni pa Yehova Mungu wako na kuvunja agano lake,+
11 Israeli wametenda dhambi, nao wamevunja agano langu+ ambalo niliwaamuru; tena wamechukua sehemu ya vitu vilivyotengwa kwa ajili ya kuharibiwa,+ tena wameiba,+ tena wamevificha+ na kuvitia katikati ya vyombo vyao wenyewe.+
16 “ ‘ “Kama ninavyoishi,”+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, “mahali pa mfalme aliyemweka kuwa mfalme yule aliyekidharau kiapo+ chake na ambaye alilivunja agano lake, atakufa pamoja naye katikati ya Babiloni.+