Ezekieli 17:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “‘“Kwa hakika kama ninavyoishi,” asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, “atafia huko Babiloni, mahali ambapo anaishi mfalme* aliyemweka* kuwa mfalme, ambaye alikidharau kiapo chake na ambaye alilivunja agano lake.+ Ezekieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 17:16 Ibada Safi, uku. 85
16 “‘“Kwa hakika kama ninavyoishi,” asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, “atafia huko Babiloni, mahali ambapo anaishi mfalme* aliyemweka* kuwa mfalme, ambaye alikidharau kiapo chake na ambaye alilivunja agano lake.+