Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 4:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Jiangalieni msije mkasahau agano la Yehova Mungu wenu ambalo alifanya pamoja nanyi+ na msijifanyie sanamu ya kuchongwa, umbo la kitu chochote ambacho juu yake Yehova Mungu wako amekuamuru.+

  • Kumbukumbu la Torati 13:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 “Ikiwa ndugu yako, mwana wa mama yako, au mwana wako au binti yako au mke wako mpendwa au mwenzako aliye kama nafsi yako mwenyewe,+ atajaribu kukushawishi kwa siri, akisema, ‘Twende tukaitumikie miungu mingine,’+ ambayo hukuijua, wewe wala mababu zako,

  • Waamuzi 2:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Mwishowe hasira ya Yehova ikawaka+ juu ya Israeli naye akasema: “Kwa sababu taifa hili wamevunja agano+ langu ambalo niliwaamuru mababu zao, nao hawakuisikiliza sauti yangu,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki