Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 24:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kisha Musa akaja na kuwasimulia watu maneno yote ya Yehova na maamuzi yote ya hukumu,+ nao watu wote wakajibu kwa sauti moja na kusema: “Maneno yote ambayo Yehova amesema tuko tayari kuyafanya.”+

  • Kutoka 24:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Basi Musa akaichukua damu na kuinyunyiza juu ya watu+ na kusema: “Tazama, hii ndiyo damu ya agano+ ambalo Yehova amefanya pamoja nanyi kuhusu maneno yote haya.”

  • Kutoka 34:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Naye Yehova akaendelea kumwambia Musa: “Jiandikie maneno haya,+ kwa sababu ninafanya agano pamoja nawe na Israeli kupatana na maneno haya.”+

  • Kumbukumbu la Torati 29:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Haya ndiyo maneno ya agano ambalo Yehova alimwamuru Musa afanye pamoja na wana wa Israeli katika nchi ya Moabu mbali na lile agano alilofanya pamoja nao katika Horebu.+

  • Yoshua 23:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 kwa sababu ya kuvunja agano la Yehova Mungu wenu ambalo aliwaamuru ninyi, na kwa sababu mmeenda na kuitumikia miungu mingine na kuiinamia.+ Na hasira ya Yehova hakika itawaka juu yenu,+ nanyi hakika mtaangamia upesi kutoka katika hii nchi nzuri ambayo amewapa.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki