27 Wewe mwenyewe nenda karibu, usikie yote ambayo Yehova Mungu wetu atasema; nawe ndiye utakayesema nasi yote ambayo Yehova Mungu wetu atasema nawe,+ nasi hakika tutasikiliza na kuyatenda.’
22 Ndipo Yoshua akawaambia watu: “Ninyi ni mashahidi dhidi yenu wenyewe+ kwamba mmemchagua Yehova kwa kupenda kwenu wenyewe, ili kumtumikia yeye.”+ Na kwa neno hilo wakajibu: “Sisi ni mashahidi.”