Kumbukumbu la Torati 26:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Yehova umemfanya aseme leo kwamba atakuwa Mungu wako unapotembea katika njia zake na kushika masharti+ yake na amri+ zake na maamuzi yake ya hukumu+ na kusikiliza sauti+ yake. Mhubiri 5:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Wakati wowote unapoweka nadhiri kwa Mungu, usisite kuitimiza,+ kwa maana hapendezwi na wajinga.+ Kile unachoweka nadhiri, timiza.+
17 Yehova umemfanya aseme leo kwamba atakuwa Mungu wako unapotembea katika njia zake na kushika masharti+ yake na amri+ zake na maamuzi yake ya hukumu+ na kusikiliza sauti+ yake.
4 Wakati wowote unapoweka nadhiri kwa Mungu, usisite kuitimiza,+ kwa maana hapendezwi na wajinga.+ Kile unachoweka nadhiri, timiza.+