2 Wafalme 24:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa maana hayo yalitendeka katika Yerusalemu na katika Yuda kwa sababu ya hasira+ ya Yehova, mpaka alipokuwa amewatupa kutoka mbele za macho yake.+ Na Sedekia akaanza kumwasi mfalme wa Babiloni.+
20 Kwa maana hayo yalitendeka katika Yerusalemu na katika Yuda kwa sababu ya hasira+ ya Yehova, mpaka alipokuwa amewatupa kutoka mbele za macho yake.+ Na Sedekia akaanza kumwasi mfalme wa Babiloni.+