17 Basi Yeremia akamwambia Sedekia: “Yehova, Mungu wa majeshi,+ Mungu wa Israeli,+ amesema hivi, ‘Bila shaka ukitoka nje kwenda kwa wakuu wa mfalme wa Babiloni,+ hakika nafsi yako itaendelea kuishi na jiji hili halitateketezwa kwa moto, na wewe mwenyewe na nyumba yako hakika mtaendelea kuishi.+