Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 36:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Naye akamwasi hata Mfalme Nebukadneza,+ aliyekuwa amemwapisha kwa Mungu;+ naye akaendelea kuifanya shingo yake kuwa ngumu+ na kuufanya moyo wake kuwa mgumu+ ili asirudi kwa Yehova Mungu wa Israeli.

  • Yeremia 27:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Hata Sedekia+ mfalme wa Yuda nilimwambia kulingana na maneno haya yote,+ nikisema: “Tieni shingo zenu chini ya nira ya mfalme wa Babiloni, mkamtumikie yeye na watu wake, mwendelee kuishi.+

  • Yeremia 38:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Basi Yeremia akamwambia Sedekia: “Yehova, Mungu wa majeshi,+ Mungu wa Israeli,+ amesema hivi, ‘Bila shaka ukitoka nje kwenda kwa wakuu wa mfalme wa Babiloni,+ hakika nafsi yako itaendelea kuishi na jiji hili halitateketezwa kwa moto, na wewe mwenyewe na nyumba yako hakika mtaendelea kuishi.+

  • Ezekieli 17:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Lakini mwishowe alimwasi+ kwa kutuma wajumbe wake Misri, ili wampe farasi+ na umati wa watu. Je, atakuwa na mafanikio? Je, ataponyoka, yeye anayefanya mambo haya, na ambaye amevunja agano? Na je, kwa kweli ataponyoka?’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki