Yeremia 38:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kisha Yeremia akamwambia Sedekia: “Yehova, Mungu wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi: ‘Ukijisalimisha* kwa wakuu wa mfalme wa Babiloni, uhai wako utaokoka,* na jiji hili halitateketezwa kwa moto, na wewe na watu wa nyumba yako mtaokoka.+
17 Kisha Yeremia akamwambia Sedekia: “Yehova, Mungu wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi: ‘Ukijisalimisha* kwa wakuu wa mfalme wa Babiloni, uhai wako utaokoka,* na jiji hili halitateketezwa kwa moto, na wewe na watu wa nyumba yako mtaokoka.+