24 Jina+ lako na liwe la kuaminika na liwe kuu+ mpaka wakati usio na kipimo, kusema, ‘Yehova wa majeshi,+ Mungu wa Israeli,+ ni Mungu wa Israeli,’+ na acha nyumba ya Daudi mtumishi wako idumu mbele zako.+
23 Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, amesema hivi: “Bado watasema neno hili katika nchi ya Yuda na katika majiji yake, nitakapowakusanya mateka wao, ‘Yehova na akubariki,+ Ee makao ya uadilifu,+ Ee mlima mtakatifu.’+