Yeremia 31:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 “Wakati huo,” asema Yehova, “Nitakuwa Mungu kwa familia zote za Israeli; nao watakuwa watu wangu.”+ Waebrania 11:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Lakini sasa wanajitahidi kufikia mahali palipo bora, yaani, panapohusiana na mbinguni.+ Kwa hiyo Mungu haoni aibu juu yao, kuitwa akiwa Mungu wao,+ kwa maana ametayarisha jiji+ kwa ajili yao.
31 “Wakati huo,” asema Yehova, “Nitakuwa Mungu kwa familia zote za Israeli; nao watakuwa watu wangu.”+
16 Lakini sasa wanajitahidi kufikia mahali palipo bora, yaani, panapohusiana na mbinguni.+ Kwa hiyo Mungu haoni aibu juu yao, kuitwa akiwa Mungu wao,+ kwa maana ametayarisha jiji+ kwa ajili yao.