Yeremia 31:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi: “Watasema tena maneno haya katika nchi ya Yuda na katika majiji yake nitakapowakusanya na kuwarudisha mateka wao: ‘Yehova na akubariki, Ee makao ya uadilifu,+ Ee mlima mtakatifu.’+
23 Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi: “Watasema tena maneno haya katika nchi ya Yuda na katika majiji yake nitakapowakusanya na kuwarudisha mateka wao: ‘Yehova na akubariki, Ee makao ya uadilifu,+ Ee mlima mtakatifu.’+