Zekaria 8:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 “Yehova anasema hivi: ‘Nitarudi Sayuni+ na kukaa Yerusalemu;+ na Yerusalemu litaitwa jiji la ukweli,*+ na mlima wa Yehova wa majeshi utaitwa mlima mtakatifu.’”+
3 “Yehova anasema hivi: ‘Nitarudi Sayuni+ na kukaa Yerusalemu;+ na Yerusalemu litaitwa jiji la ukweli,*+ na mlima wa Yehova wa majeshi utaitwa mlima mtakatifu.’”+