Isaya 12:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Paza sauti na upige kelele kwa shangwe, ewe mkaaji* wa Sayuni,Kwa maana Mtakatifu wa Israeli ni mkuu katikati yako.” Yoeli 3:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Nanyi mtalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova Mungu wenu, ninayekaa Sayuni, mlima wangu mtakatifu.+ Yerusalemu litakuwa mahali patakatifu,+Na wageni hawatapita tena humo.+ Zekaria 2:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “Mataifa mengi yatajiunga na Yehova siku hiyo,+ nao watakuwa watu wangu; nami nitakaa kati yenu.” Nanyi mtalazimika kujua kwamba Yehova wa majeshi amenituma kwenu. Zekaria 8:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Nami nitawaleta ndani, nao wataishi Yerusalemu;+ watakuwa watu wangu, nami nitakuwa Mungu wao+ katika ukweli* na katika uadilifu.’”
6 “Paza sauti na upige kelele kwa shangwe, ewe mkaaji* wa Sayuni,Kwa maana Mtakatifu wa Israeli ni mkuu katikati yako.”
17 Nanyi mtalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova Mungu wenu, ninayekaa Sayuni, mlima wangu mtakatifu.+ Yerusalemu litakuwa mahali patakatifu,+Na wageni hawatapita tena humo.+
11 “Mataifa mengi yatajiunga na Yehova siku hiyo,+ nao watakuwa watu wangu; nami nitakaa kati yenu.” Nanyi mtalazimika kujua kwamba Yehova wa majeshi amenituma kwenu.
8 Nami nitawaleta ndani, nao wataishi Yerusalemu;+ watakuwa watu wangu, nami nitakuwa Mungu wao+ katika ukweli* na katika uadilifu.’”