Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 12:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 “Paza sauti na upige kelele kwa shangwe, ewe mkaaji* wa Sayuni,

      Kwa maana Mtakatifu wa Israeli ni mkuu katikati yako.”

  • Yoeli 3:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Nanyi mtalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova Mungu wenu, ninayekaa Sayuni, mlima wangu mtakatifu.+

      Yerusalemu litakuwa mahali patakatifu,+

      Na wageni hawatapita tena humo.+

  • Zekaria 2:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “Mataifa mengi yatajiunga na Yehova siku hiyo,+ nao watakuwa watu wangu; nami nitakaa kati yenu.” Nanyi mtalazimika kujua kwamba Yehova wa majeshi amenituma kwenu.

  • Zekaria 8:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Nami nitawaleta ndani, nao wataishi Yerusalemu;+ watakuwa watu wangu, nami nitakuwa Mungu wao+ katika ukweli* na katika uadilifu.’”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki