Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 22:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Miisho yote ya dunia itakumbuka na kumgeukia Yehova.

      Familia zote za mataifa zitainama chini mbele zako.+

  • Isaya 2:2, 3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Katika siku za mwisho,*

      Mlima wa nyumba ya Yehova

      Utaimarishwa kabisa juu ya vilele vya milima,+

      Nao utainuliwa juu ya vilima,

      Na mataifa yote yatamiminika kwenye mlima huo.+

       3 Na watu wa mataifa mengi wataenda na kusema:

      “Njooni, twendeni juu kwenye mlima wa Yehova,

      Kwenye nyumba ya Mungu wa Yakobo.+

      Naye atatufundisha njia zake,

      Nasi tutatembea katika vijia vyake.”+

      Kwa maana sheria itatoka* Sayuni,

      Na neno la Yehova litatoka Yerusalemu.+

  • Zekaria 8:22, 23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Na mataifa mengi na mataifa yenye nguvu yatakuja Yerusalemu kumtafuta Yehova wa majeshi + na kumsihi Yehova awape kibali chake.’*

      23 “Yehova wa majeshi anasema hivi: ‘Siku hizo watu kumi kutoka katika lugha zote za mataifa+ watashika, naam, watashika kwa nguvu joho* la Myahudi,* wakisema: “Tunataka kwenda pamoja nanyi,+ kwa maana tumesikia kwamba Mungu yupo pamoja nanyi.”’”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki