Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zekaria 2:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “Mataifa mengi yatajiunga na Yehova siku hiyo,+ nao watakuwa watu wangu; nami nitakaa kati yenu.” Nanyi mtalazimika kujua kwamba Yehova wa majeshi amenituma kwenu.

  • Ufunuo 7:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Baada ya hapo nikaona, na tazama! umati mkubwa, ambao hakuna mtu aliyeweza kuuhesabu, kutoka mataifa yote na makabila na jamii na lugha,+ wakiwa wamesimama mbele ya kiti cha ufalme na mbele ya Mwanakondoo, wakiwa wamevaa kanzu nyeupe;+ na walikuwa na matawi ya mitende mikononi mwao.+

  • Ufunuo 14:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Nami nikamwona malaika mwingine akiruka katikati ya mbingu,* naye alikuwa na habari njema ya milele ili aitangaze kwa wale wanaokaa duniani, kwa kila taifa na kabila na lugha na watu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki