40 Siku ya kwanza, mtachukua matunda ya miti yenu bora, matawi ya mitende,+ matawi ya miti yenye majani mengi na mierebi ya bondeni, nanyi mtashangilia+ mbele za Yehova Mungu wenu kwa siku saba.+
13 Basi wakachukua matawi ya mitende na kutoka nje kwenda kumlaki, nao wakaanza kusema kwa sauti kubwa: “Tunaomba umwokoe! Amebarikiwa yule anayekuja katika jina la Yehova,*+ Mfalme wa Israeli!”+