Mambo ya Walawi 23:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Nanyi mtajichukulia katika siku ya kwanza tunda la miti yenye fahari, matawi ya mitende+ na matawi ya miti yenye majani mengi na mierebi ya bonde la mto, nanyi mtashangilia+ mbele za Yehova Mungu wenu siku saba.
40 Nanyi mtajichukulia katika siku ya kwanza tunda la miti yenye fahari, matawi ya mitende+ na matawi ya miti yenye majani mengi na mierebi ya bonde la mto, nanyi mtashangilia+ mbele za Yehova Mungu wenu siku saba.