Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 60:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Ukatili hautasikiwa tena katika nchi yako

      Wala maangamizi na uharibifu katika mipaka yako.+

      Nawe utaziita kuta zako Wokovu+ na malango yako Sifa.

  • Nahumu 1:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 “Tazama! Miguu ya yule anayeleta habari njema iko milimani,

      Yule anayetangaza amani.+

      Fanya sherehe zako,+ Ee Yuda, timiza nadhiri zako,

      Kwa maana mtu asiyefaa hatapita tena kati yako.

      Ataangamizwa kabisa.”

  • Zekaria 14:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Na kila chungu cha kupikia* kilicho Yerusalemu na Yuda kitakuwa kitakatifu na kitakuwa cha Yehova wa majeshi, na wale wote wanaotoa dhabihu wataingia na kutumia baadhi ya vyungu hivyo kuchemshia. Siku hiyo hakutakuwa tena na Mkanaani* katika nyumba ya Yehova wa majeshi.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki