Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 2:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Atatekeleza hukumu miongoni mwa mataifa

      Na kunyoosha* mambo kuhusiana na watu wengi.

      Watafua panga zao ziwe majembe ya plau

      Na mikuki yao iwe miundu.+

      Taifa halitainua upanga dhidi ya taifa lingine,

      Wala hawatajifunza vita tena kamwe.+

  • Isaya 11:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Hawatasababisha madhara yoyote+

      Wala uharibifu wowote katika mlima wangu wote mtakatifu,+

      Kwa maana kwa hakika dunia itajaa ujuzi kumhusu Yehova

      Kama maji yanavyoifunika bahari.+

  • Isaya 54:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Utaimarishwa kabisa katika uadilifu.+

      Utakuwa mbali sana na ukandamizaji,+

      Hutaogopa chochote na hutakuwa na sababu yoyote ya kuhofu,

      Kwa maana haitakukaribia.+

  • Zekaria 9:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Nitapiga kambi nikiwa mlinzi wa nyumba yangu,+

      Hivi kwamba hakuna yeyote atakayeingia na hakuna yeyote atakayetoka;

      Na hakuna msimamizi wa watumwa* atakayeingia humo tena,+

      Kwa maana sasa nimeyaona* kwa macho yangu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki