Isaya 2:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Atatekeleza hukumu miongoni mwa mataifaNa kunyoosha* mambo kuhusiana na watu wengi. Watafua panga zao ziwe majembe ya plauNa mikuki yao iwe miundu.+ Taifa halitainua upanga dhidi ya taifa lingine,Wala hawatajifunza vita tena kamwe.+ Isaya 11:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Hawatasababisha madhara yoyote+Wala uharibifu wowote katika mlima wangu wote mtakatifu,+Kwa maana kwa hakika dunia itajaa ujuzi kumhusu YehovaKama maji yanavyoifunika bahari.+ Isaya 54:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Utaimarishwa kabisa katika uadilifu.+ Utakuwa mbali sana na ukandamizaji,+Hutaogopa chochote na hutakuwa na sababu yoyote ya kuhofu,Kwa maana haitakukaribia.+ Zekaria 9:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Nitapiga kambi nikiwa mlinzi wa nyumba yangu,+Hivi kwamba hakuna yeyote atakayeingia na hakuna yeyote atakayetoka;Na hakuna msimamizi wa watumwa* atakayeingia humo tena,+Kwa maana sasa nimeyaona* kwa macho yangu.
4 Atatekeleza hukumu miongoni mwa mataifaNa kunyoosha* mambo kuhusiana na watu wengi. Watafua panga zao ziwe majembe ya plauNa mikuki yao iwe miundu.+ Taifa halitainua upanga dhidi ya taifa lingine,Wala hawatajifunza vita tena kamwe.+
9 Hawatasababisha madhara yoyote+Wala uharibifu wowote katika mlima wangu wote mtakatifu,+Kwa maana kwa hakika dunia itajaa ujuzi kumhusu YehovaKama maji yanavyoifunika bahari.+
14 Utaimarishwa kabisa katika uadilifu.+ Utakuwa mbali sana na ukandamizaji,+Hutaogopa chochote na hutakuwa na sababu yoyote ya kuhofu,Kwa maana haitakukaribia.+
8 Nitapiga kambi nikiwa mlinzi wa nyumba yangu,+Hivi kwamba hakuna yeyote atakayeingia na hakuna yeyote atakayetoka;Na hakuna msimamizi wa watumwa* atakayeingia humo tena,+Kwa maana sasa nimeyaona* kwa macho yangu.