Yeremia 23:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Nami nitaweka wachungaji juu yao ambao kwa kweli watawachunga.+ Hawataogopa tena wala kuwa na hofu, na hakuna yeyote atakayekosekana,” asema Yehova. Sefania 3:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Waisraeli watakaobaki+ hawatatenda mambo yasiyo ya uadilifu;+Hawatasema uwongo, wala hawatakuwa na ndimi za udanganyifu vinywani mwao;Watakula* na kulala, na hakuna yeyote atakayewaogopesha.”+
4 Nami nitaweka wachungaji juu yao ambao kwa kweli watawachunga.+ Hawataogopa tena wala kuwa na hofu, na hakuna yeyote atakayekosekana,” asema Yehova.
13 Waisraeli watakaobaki+ hawatatenda mambo yasiyo ya uadilifu;+Hawatasema uwongo, wala hawatakuwa na ndimi za udanganyifu vinywani mwao;Watakula* na kulala, na hakuna yeyote atakayewaogopesha.”+