-
Ezekieli 39:25, 26Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
25 “Kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: ‘Nitawarudisha watu wa Yakobo waliotekwa+ na kuwaonyesha rehema watu wote wa nyumba ya Israeli;+ nami nitalitetea jina langu takatifu kwa bidii.*+ 26 Baada ya kufedheheshwa kwa sababu ya ukosefu wao wote wa uaminifu kunielekea,+ watakaa kwa usalama katika nchi yao, na hakuna mtu atakayewaogopesha.+
-