11 Na watu wa Yuda na wa Israeli watakusanywa pamoja ili wawe na umoja+ nao watajichagulia kiongozi mmoja na kupanda kutoka nchini, kwa maana siku ya Yezreeli itakuwa kuu.+
16 “Basi Yehova anasema hivi: ‘“Nitarudi Yerusalemu kwa rehema,+ na nyumba yangu mwenyewe itajengwa humo,”+ asema Yehova wa majeshi, “na kamba ya kupimia itanyooshwa juu ya Yerusalemu.”’+