Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezra 6:14, 15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Nao wazee wa Wayahudi wakaendelea kujenga na kufanya maendeleo,+ wakitiwa moyo na nabii Hagai+ na Zekaria+ mjukuu wa Ido; wakamaliza kujenga kulingana na agizo la Mungu wa Israeli+ na agizo la Koreshi,+ Dario,+ na Mfalme Artashasta+ wa Uajemi. 15 Wakamaliza kujenga nyumba hiyo katika siku ya tatu ya mwezi wa Adari,* katika mwaka wa sita wa utawala wa Mfalme Dario.

  • Isaya 44:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Ninayesema kumhusu Koreshi,+ ‘Yeye ni mchungaji wangu,

      Naye atatimiza kikamili mapenzi yangu yote’;+

      Ninayesema kuhusu Yerusalemu, ‘Litajengwa upya,’

      Na kuhusu hekalu, ‘Msingi wako utawekwa.’”+

  • Hagai 1:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Basi Yehova akaichochea roho+ ya Zerubabeli mwana wa Shealtieli, gavana wa Yuda,+ na roho ya Yoshua+ mwana wa Yehosadaki, kuhani mkuu, na roho ya watu wengine wote; nao wakaja na kuanza kujenga nyumba ya Yehova wa majeshi, Mungu wao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki