Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 36:22, 23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Katika mwaka wa kwanza wa utawala wa Mfalme Koreshi+ wa Uajemi, ili neno la Yehova lililosemwa na Yeremia+ litimie, Yehova aliichochea roho ya Mfalme Koreshi wa Uajemi atoe tangazo katika ufalme wake wote, ambalo pia aliliandika,+ akisema: 23 “Mfalme Koreshi wa Uajemi anasema hivi: ‘Yehova Mungu wa mbinguni amenipa falme zote za dunia,+ naye ameniagiza nimjengee nyumba Yerusalemu, nchini Yuda.+ Yeyote miongoni mwenu, ninyi watu wake wote, Yehova Mungu wake na awe pamoja naye, na apande kwenda huko.’”+

  • Ezra 6:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “Katika mwaka wa kwanza wa utawala wa Mfalme Koreshi, Mfalme Koreshi alitoa agizo hili kuhusu nyumba ya Mungu huko Yerusalemu:+ ‘Nyumba hiyo na ijengwe upya iwe mahali watakapotolea dhabihu, na misingi yake inapaswa kuwekwa; kimo chake kiwe mikono 60,* upana wake mikono 60,+

  • Isaya 45:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 “Nimemwinua mtu katika uadilifu,+

      Nami nitazinyoosha njia zake zote.

      Yeye ndiye atakayelijenga jiji langu+

      Na kuwaweka huru bila bei au rushwa+ watu wangu waliotekwa,”+ asema Yehova wa majeshi.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki