Isaya 45:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 “Mimi nimemwamsha mtu katika uadilifu,+ na njia zake zote nitazinyoosha.+ Yeye ndiye atakayelijenga jiji langu,+ na watu wangu walio uhamishoni atawaacha waende zao,+ si kwa bei+ fulani wala kwa rushwa,” Yehova wa majeshi amesema. Isaya Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 45:13 ip-2 85-86 Isaya Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 45:13 Unabii wa Isaya II, kur. 84-86
13 “Mimi nimemwamsha mtu katika uadilifu,+ na njia zake zote nitazinyoosha.+ Yeye ndiye atakayelijenga jiji langu,+ na watu wangu walio uhamishoni atawaacha waende zao,+ si kwa bei+ fulani wala kwa rushwa,” Yehova wa majeshi amesema.